Ads by CinemaPlus-3.3c
X | i
Uwekwaji
Nyasi ukiendelea katika Uwanja wa Kaitaba …Picha zote kwa hisani ya Faustine
Ruta, Bukoba.
|
Uwekwaji
Nyasi ukiendelea katika Uwanja wa Kaitaba …Picha zote kwa hisani ya Faustine
Ruta, Bukoba.
|
Taswira ya
Nyasi zenyewe za Bandia zikiwa zimetandazwa katika Uwanja huo wa Kaitaba uliopo
Mjini Bukoba,mkoani Kagera.
|
Katibu Mkuu wa Chama cha soka mkoani Kagera - KRFA ,Salumu Umande Chama ,ambaye pia ni Kiongozi Kamati ya Waamuzi Nchini
Tanzania, akizungumzia swala zima la Uwanja huo wa Kaitaba na Waandishi wa habari Jana Jumatatu 02 Novemba, 2015. Chama ameeleza kutokana na kasi iliyopo na kama
Mafundi hawatakwama Uwanja huo utamalizika ndani ya Wiki mbili tuu.
|
Taswira ya Nyasi zenyewe za Bandia zikiwa zimetandazwa katika Uwanja huo wa Kaitaba uliopo Mjini Bukoba,mkoani Kagera. |
Uwanja huu
wa Kaitaba sasa utakuwa umeongezeka katika Viwanja vilivyowekwa nyasi bandia hapa Tanzania ikiwa
ni pamoja na Uwanja wa Uhuru uliopo Dar es Salaam, Uwanja wa Karume
(Dar es Salaam) na Uwanja wa Gombani uliopo Pemba.
|
Chief Editor | Mhariri
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment