![]() |
Mabaki ya
Ndege aina ya Airbus A-321 iliyoanguka siku ya Jumamosi ikitokea Mji wa Sharm
el-Sheikh ikielekea mji wa St. Petersburg nchini Urusi.
|
![]() |
Mmoja wa
wachunguzi wa masuala ya safari za ndege kutoka Urusi amesema kuwa ndege ya
Urusi iliyoanguka katika rasi ya Sinai nchini Misri ilivunjika ikiwa hewani.
Aleksandr
Neradko amesema kwamba mabaki ya ndege hiyo yametapakaa katika rasi ya Sinai.
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
No comments:
Post a Comment