![]() |
Mtoto Careen
Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo
ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba
zimebana kiasi hivyo analazimika
kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.
Wazazi wa
mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe
gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika
ili kuokoa maisha yake.
Ewe
Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa
tunaomba utume mchango wako kwa mama mzazi wa mtoto huyo Eunice kwa namba 0713
034866 au kwa namba 0715 083055
Mungu
awabariki wote mtakaochangia kwa njia moja au nyingine.
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Sunday, November 01, 2015

TANGAZAO KWA WASAMALIA WEMA: Mtoto Careen anahitaji Msaada.
Tags
# HABARI
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment