![]() |
Magoli 2 ya
Luis Suarez na Neymar yamewapa ushindi wa 2-0 Barcelona walipocheza Ugenini
huko Coliseum Alfonso Perez na kuichapa Getafe 2-0 katika Mechi ya La Liga 2015/2016. Ushindi huu umewafanya Barca waifikie kwa Pointi Real Madrid ambao ndio wanaongoza La Liga lakini wao wako Nafasi ya Pili kwa uchache wa Magoli.
LA
LIGA 2015/2016 -RATIBA/MATOKEO:
Ijumaa
Oktoba 30,2015.
Deportivo
La Coruna 1 - 1 Atletico de Madrid
Jumamosi
Oktoba 31,2015.
Real Madrid
CF 3 - 1 Las Palmas
Valencia
C.F 3 - 0 Levante
Villarreal
CF 2 - 1 Sevilla FC
Getafe CF 0
- 2 FC Barcelona
Real
Sociedad 2 - 3 Celta de Vigo
Jumapili
Novemba 1,2015.
SD
Eibar 1 - 0 Rayo Vallecano
RCD
Espanyol 1 - 1 Granada CF
Sporting Gijon v Malaga CF
2230 Real
Betis v Athletic de Bilbao
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Sunday, November 01, 2015

Home
MICHEZO
LA LIGA 2015/2016:-Tazama Msimamo baada ya Real Madrid CF na FC Barcelona kushinda October 31,2015.
LA LIGA 2015/2016:-Tazama Msimamo baada ya Real Madrid CF na FC Barcelona kushinda October 31,2015.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment