![]() |
Mamilioni ya
Watanzania watatarajiwa nia ya kuanza kushuhudia ‘mabadiliko ya kweli’
aliyoahidi Magufuli wakati wa kampeni, bado kuna mambo mazito anayoachiwa na
Rais Kikwete, na ambayo baadhi ya wafuatiliaji wa siasa za Tanzania
wanayaelezea kuwa ni ‘mizigo’ mizito kwake.
Baadhi ya
mambo hayo yanatajwa kuwa ni mgogoro ulioibuliwa upya wa hali ya kisiasa
visiwani Zanzibar; katiba mpya na pia utekelezaji wa baadhi ya maazimio ya
bunge kuhusiana na kashfa ya ulaji wa mabilioni ya fedha za akaunti ya Tegeta
Escrow.
Kadhalika, wafuatiliaji wa siasa za Tanzania wanataja
mzigo mwingine mzito unaoachwa na Rais Kikwete kwa Rais mpya, Dk. Magufuli, ni
utekelezaji wa ahadi kadhaa kubwa zilizowahi kutolewa tangu wakati wa kampeni
na Rais Kikwete anayemaliza muda wake leo,November 05,2015.Bofya hapa kusoma zaidi Mizigo ya JK kwa Magufuli hii hapa.
|
![]() |
No comments:
Post a Comment