![]() |
Wafuasi
wa Bw Kasuku Bilago wakishangilia ushindi wake wa Jimbo la Buyungu/Kakonko.
Jimbo
la Muhambwe /Kibondo: Mgombea
Ubunge Jimbo la Muhambwe kupitia chama
cha Mapinduzi CCM ,Eng.A.J Nditiye ameshinda ubunge wa jimbo hilo kwa kura
27,225,akimwangusha mpinzani wake Bw.Felix Mkosamali wa NCCR-Mageuzi aliyepata
kura 21,630.
Jimbo la Kasulu Mjini: Mgombea ubunge Jimbo la Kasulu Mjini, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) ameshinda ubunge wa jimbo hilo kwa kura 25,336 na kufanikiwa kulirejesha jimbo hilo chama Tawala kwa kuwashinda wapinzani wake wa karibu ACT Wazalendo kura 22,512 na NCCR Mageuzi kura 3,488. Jimbo la Kasulu Vijijini: Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo Bw.Philimon Magesa amemtangaza Bw.Augustino Vuma Hole wa CCM, ameshinda kwa jumla ya kura 36,940, dhidi ya mpinzani wake wa karibu Bi. Agripina Buyogera wa NCCR Mageuzi, aliyekua akitetea jimbo hilo kwa kupata kura 19,941 Jimbo la Biharamulo Magharibi: Bw.Mukasa Oscar Rwegasira wa CCM, ameshinda kwa jumla ya kura 41,879, dhidi ya mpinzani wake wa karibu Dr Antony Gervas Mbasa wa CHADEMA,aliyeshindwa kutetea kiti hicho , aliyepata kura 27,332.
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Tuesday, October 27, 2015

Home
SIASA
UCHAGUZI MKUU 2015 TANZANIA:-Matokeo Tazama kutoka Jimbo la Buyungu ,Muhambe,Kasulu na Biharamulo Magharibi.
UCHAGUZI MKUU 2015 TANZANIA:-Matokeo Tazama kutoka Jimbo la Buyungu ,Muhambe,Kasulu na Biharamulo Magharibi.
Tags
# SIASA
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
SIASA
Labels:
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment