Kwenye picha
ya pamoja, hapo ni Dk. Magufuli, Mama Samia Suluhu, Jaji Damian Lubuva na
baadhi ya Wagombea waliokuwa wakigombea kiti cha Urais Tanzania kwenye Uchaguzi
wa mwaka 2015.
Tume ya
Uchaguzi NEC imekamilisha kazi yake ambapo leo October 30 2015 Dk. Magufuli na
mgombea mwenza wake ambaye atakuwa Makamu wa Rais Serikali ya awamu ya tano,
Mama Samia Suluhu Hassan wamekabidhiwa rasmi vyeti vya kuthibitisha ushindi wao
kwenye nafasi hizo.
Kazi ya
vyeti ilikuwa pale Ukumbi wa Diamond Jubilee, eneo la Upanga Dar es Salaam na
baada ya hapo msafara ukaelekea katika Ofisi za CCM zilizopo mtaa wa Lumumba ,
Dar es Salaam.
|
Naibu Spika
aliyemaliza muda wake, Job Ndugai.
|
Kamanda wa
Polisi Ernest Mangu akisalimiana na Jenerali Davis Mwamunyange.
|
Hapa ni IGP
Ernest Mangu, Jen. Mwamunyange akisalimiana na DC wa Kinondoni, Paul Makonda.
|
.
Baadhi ya
waalikwa walioshuhudia tukio hilo Ukumbi wa Diamond Jubilee, ikiwemo viongozi
wa dini pamoja na wengine ikiwemo Mzee Reginald Mengi.
|
Mzee
Reginald Mengi na Jenerali Davis Mwamunyange.
|
Mzee John
Malecela, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba akimwangalia jeraha la mkononi Nape
Nnauye.
|
Dk. Magufuli
akikabidhiwa Cheti na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva.. yuko pia Mama
Samia Suluhu na Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhan Kailima.
|
Picha ya
kumbukumbu: Rais Kikwete, Mama Salma, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Dk. Magufuli,
Mama Samia, Jaji Damian Lubuva, pamoja na Mama Janeth Magufuli.
|
.
.
.
.
.
.
.
.
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630. |
.
No comments:
Post a Comment