AJALI / PICHA:- Taswira wakati gari nne zikipata ajali September 30,2015 eneo la Misugusugu,Kibaha. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Thursday, October 01, 2015

demo-image

AJALI / PICHA:- Taswira wakati gari nne zikipata ajali September 30,2015 eneo la Misugusugu,Kibaha.

.com/simgad/
12072779_10206903216952293_4381520866159241307_n
Taarifa inasema chanzo ni kutokuwa makini kwa dereva wa Basi la Ngorika alikuwa anaovateki bila tahadhali, ghafla Coaster hii hapa akajaribu kwenda kulia zaidi ikawa too late akaishia kugongana. Inasemekana kuna Vifo viwili na majeruhi.
12074806_10206903216672286_7716217752267918322_n

12088113_10206903216512282_2988145851525436767_n

12046827_10206903216352278_1967500947210055733_n
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za  Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga  na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *