#R I P:- Mtu mfupi zaidi Duniani...., anaefatia kushika rekodi hiyo..'' - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, September 08, 2015

#R I P:- Mtu mfupi zaidi Duniani...., anaefatia kushika rekodi hiyo..''

Vichwa vya Habari vilibeba stori kubwa November 13, 2014 kuhusu Sultan Kosen, raia wa Uturuki ambae ndio mtu mrefu zaidi Duniani pamoja na Chandra Dangi Raia wa Nepal ambaye alikuwa anashikilia Rekodi ya kuwa mtu mfupi zaidi Duniani walipokutana kwa mara ya kwanza Uingereza kwenye Maadhimisho ya Guinness World Record Day.

t5
Habari ya kusikitisha ni kwamba nafasi ya Rekodi ya mtu mfupi zaidi Duniani inabaki wazi kwa sasa baada ya Chandra Bahadur Dangi kufariki akiwa na umri wa miaka 75.

Baada ya Chandra kufariki sasa ni zaidi ya siku tano na bado hakuna jibu la nani atakayefikia rekodi aliyoweka ya kuwa mtu mfupi zaidi kuwahi kutokea Duniani ambapo alikuwa na Urefu wa inch 21.5.

Picha nyingine kumbukumbu ya kukutana kwa Chandra na Sultan hizi hapa mtu wangu...Kwa hisani ya:-millardayo.com
t1
t2
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za  Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga  na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad