![]() |
Naye kocha Jose
Mourinho huenda akakalia kuti kavu la kuendelea kuwa kocha wa Chelsea ,kufuatia timu yake The Blues
kufungwa mabao 3-1 na Everton 3-1 jioni ya leo September 12,2015 katika mchezo wa Ligi Kuu huko kwenye Uwanja wa Goodison Park.
Mwanasoka wa
kimataifa wa Scotland, Steven Naismith aliyetokea benchi aliifungia mabao yote
hayo matatu Everton dakika za saba, 22 na 82, wakati bao la kufutia machozi la
Bluse lilifungwa na Nemanja Matic dakika ya 36.
LIGI KUU
UINGEREZA 2015/2016 -RATIBA.
Jumapili
Septemba 13,2015.
1530
Sunderland v Tottenham
1800
Leicester v Aston Villa
Jumatatu
Septemba 14,2015.
2200 West
Ham v Newcastle
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Saturday, September 12, 2015

Home
MICHEZO
LIGI KUU UINGEREZA 2015/2016:-Taswira Picha ya Matokeo ya Manchester City,Arsenal na Kufungwa kwa Jose Mourinho Ligi kuu leo September 12,2015.
LIGI KUU UINGEREZA 2015/2016:-Taswira Picha ya Matokeo ya Manchester City,Arsenal na Kufungwa kwa Jose Mourinho Ligi kuu leo September 12,2015.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment