KAMPENI 2015 UBUNGE JIMBO LA NGARA:-Dr Bujari atikisa kwa Mapokezi ya Heshima Kata ya Mursagamba. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Saturday, September 12, 2015

demo-image

KAMPENI 2015 UBUNGE JIMBO LA NGARA:-Dr Bujari atikisa kwa Mapokezi ya Heshima Kata ya Mursagamba.

.com/simgad/
IMG-20150912-WA0106
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ngara mkoani kagera kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Dr Petter Bujari leo September 12,2015 kaendelea na mikutano yake ya Kampeni ambapo alipata mapokezi ya heshima na Wananchi wa Kata ya Mursagamba  na amesema kuwa akipewa ridhaa ya Kuwa Mbunge wa Jimbo la Ngara ,atahakikisha anasimamia Vipaumbele vyake Vinne vya  Kusimamia utawala wa sheria na haki, Kutatua kero na matatizo hasa ya wafanyakazi , walimu na  madaktari , kuondoa kero za wafugaji na wakulima na kupanua na kukuza kilimo na ufugaji ili kukuza pato la Wanangara.

IMG-20150912-WA0107

IMG-20150912-WA0099

IMG-20150912-WA0101

IMG-20150912-WA0100
Wananchi wa Mursagamba, wilaya ya Ngara,mkoani Kagera wakishangilia ujio wa Mgombea Ubunge wa CHADEMA, Dr Petter Bujari alipokuwa akifanya Kampeni katika Kata hiyo leo September 12,2015.

IMG-20150912-WA0103

IMG-20150912-WA0104

IMG-20150912-WA0107
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za  Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga  na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.   

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *