Waziri wa
Nchi- Uwekezaji na Uwezeshaji, Eng. Christopher Chiza, akizungumza kabla ya
kumkaribisha Mgeni rasmi, Makamu wa Rais Dkt. Bilal ili kufungua Kongamano
hilo...Picha zote
na OMR
|
Mwakilishi
wa Umoja wa wafanyabishara wa Burundi, akizungumza.
|
Sehemu ya
washiriki wa Kongamano hilo wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, alipokuwa
akihutubia kwenye ufunguzi wa Kongamano hilo.
|
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiangalia
moja ya jiwe lenye Madini huku akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni
ya Aifola Investiment Co. Ltd, Zubery Mabie, kuhusu upatikanaji wa madini na
utengenezaji wa Unga wa ‘Lime Powder’, wakati Makamu alipokuwa akitembelea Mabanda
ya maonesho kwenye ufunguzi wa Kongamano la Uwekezaji wa Ziwa Tanganyika,
lililofanyika September 9, 2015, kwenye Hoteli ya Tanganyika Mjini Kigoma.
|
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipata
maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa Umoja wa Wauza Samaki wa Mapambo, Nunu Mrisho,
kuhusu upatikanaji wa Samaki hao na soko lake , wakati Makamu alipokuwa
akitembelea Mabanda ya maonesho kwenye ufunguzi wa Kongamano la Uwekezaji wa
Ziwa Tanganyika, lililofanyika September 9, 2015, kwenye Hoteli ya Tanganyika
Mjini Kigoma.
|
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa
katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi na Balozi waliohudhuria Kongamano
hilo baada ya ufunguzi, uliofanyika September 9, 2015.
|
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa
katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi na Kamati ya Ulinzi na Usalama wa
Mkoa wa Kigoma waliohudhuria Kongamano hilo baada ya ufunguzi, uliofanyika September 9, 2015.
|
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa
katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi na baadhi ya washiriki wa
Kongamano hilo waliohudhuria Kongamano hilo baada ya ufunguzi, uliofanyika
September 9, 2015.
|
No comments:
Post a Comment