![]() | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
Katika Mechi
nyingine ,Vinara wa Ligi Kuu Vodacom, Yanga SC, Nao leo hii Februari 22,2015,majira ya
jioni huko Sokoine, Jijini Mbeya wamepaa kileleni wakiwa Pointi 4 mbele ya Timu
ya Pili na Mabingwa Watetezi, Azam FC baada ya kuichapa Mbeya City Bao 3-1.
Magoli ya Yanga
SC yamefungwa na Simon Msuva, Mrisho Ngassa na Amiss Tambwe, wakati lile la
Mbeya City likifungwa na Peter Mapunda.
Mechi ya
mwisho hii Leo ilichezwa Usiku wa saa mbili huko Azam Complex, Chamazi, kwenye Viunga
vya Jiji la Dar es Salaam kati ya Azam FC na Tanzania Prisons na kutoshana nguvu ya bila kufungana 0 - 0.
MATOKEO VPL 2014/2015.
Jumamosi
Februari 21,2015.
Kagera Sugar
1 – 0 Polisi Moro
Ndanda 1 – 0
Coastal Union
Mgambo JKT 1
– 0 Mtibwa Sugar
MSIMAMO LIGI KUU VODACOM 2014/2015.
UNGANA NASI KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
LIGI KUU VODACOM RATIBA.
Jumamosi Februari 28,2015.
Mbeya City v
Ruvu Shooting
Mgambo
Shooting v Coastal Union
Simba SC v
Tanzania Prisons
Stand United
v Kagera Sugar
|
Sunday, February 22, 2015

Home
MICHEZO
LIGI KUU VODACOM 2014/2015:- Matokeo mechi za leo Jumapili Februari 22,2015 kwa Yanga sasa kuwa Pointi 4 mbele ya Azam FC.
LIGI KUU VODACOM 2014/2015:- Matokeo mechi za leo Jumapili Februari 22,2015 kwa Yanga sasa kuwa Pointi 4 mbele ya Azam FC.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment