![]() |
Tayari
Serikali ya Tanzania imeanza kusambaza nakala milioni mbili za Katiba
inayopendekezwa nchini kote ili kuwawezesha wananchi kuisoma na kushiriki
katika kura ya maoni iliyopangwa kufanyika Aprili 30, mwaka huu,2015,kati ya
nakala hizo, nakala 1,800,000 zinasambazwa Tanzania Bara na nakala 200,000
zinasambazwa Zanzibar.
Kwa mujibu
wa Waziri Migiro, mkoa wa Kigoma umepata nakala 41,440 na Kagera nakala 54,340 na kwamba Idadi ya
nakala ya Katiba inayopendekezwa kwa kila mkoa inategemea na wingi wa kata
katika mkoa.BOFYA HAPA KUTAZAMA PICHA ZAIDI WAKATI WA UZINDUZI HUO.
|
![]() |
UNGANA NASI KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630. |
No comments:
Post a Comment