|
Sanchez
(left) won his side a penalty after fouled recklessly by former Arsenal
defender Armand Traore on eight minutes katika mchezo wa mechi za ligi kuu ya Uingereza katika ‘Boxing
Day’ Desemba 26,2014 ikiwa ni ‘London Derby’ kati ya Arsenal dhidi ya Queens
Park Rangers.
|
|
Green
(front) though was quick to react the shot, diving the right way to deny
Sanchez's penalty. |
|
Wakiwa
wametoka kupata sare ngumu ya 2-2 dhidi ya Liverpool wiki iliyopita, Gunners jana
Desemba 26,2014 wamefanikiwa kuingia kwenye sita bora ya Barclays Premier
League 2014/2015 baada ya kushinda dhidi ya vijana wa Harry Redknapp.
Alexis
Sanchez ambaye kwenye mchezo huo alikosa penati katika dakika za mwanzo za
kipindi cha kwanza, alisahihisha makosa yake kabla ya kipindi cha kwanza
hakijaisha kwa kuipa Arsenal goli la kusawazisha.
Kipindi cha
pili kilianza kwa Gunners kupata upungufu uwanjani baada ya Oliver Giroud
kupewa kadi nyekundu kwa kumpiga kichwa Onouah wa QPR.
Kadi
nyekundu haikupunguza nguvu ya Arsenal mapema na muda mfupi baadae Thomas
Rosicky alifanikiwa kuipa timu yake goli lake la pili.
Katika
dakika za mwisho QPR walicharuka kutaka kusawazisha lakini waliishia kupata
goli moja tu kwa mkwaju wa penati kupitia Charlie Austin – lakini mchezo
unamalizika Arsenal 2-1 QPR.
|
|
Olivier
Giroud (left) hugs and congratulates Sanchez after his goal gives Arsenal a 1-0
lead in the first half. |
|
Arsenal were reduced to 10
men early in the second after Giroud (left) was sent off for headbutting Nedum
Onuoha. |
|
Atkinson (right) blows the
whistle to stop play as Onuoha (centre) lays on the floor after being
headbutted.
|
|
Giroud
(second left) has no complaints as he is shown a straight red card by Atkinson
(centre) at the Emirates.
|
Jumapili Desemba 28,2014.
1500 Tottenham v Man
United
1705 Southampton v
Chelsea
1800 Aston Villa v
Sunderland
1800 Hull v
Leicester
1800 Man City v
Burnley
1800 QPR v Crystal
Palace
1800 Stoke v West
Brom
1800 West Ham v
Arsenal
1915 Newcastle v
Everton
No comments:
Post a Comment