UMOJA WETU:-Tazama Picha 3 kali za Wafuasi wa CHADEMA na CCM walipoamua kwa Rahaaa zao kuserebuka pamoja Octoba 01,2014. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, October 05, 2014

UMOJA WETU:-Tazama Picha 3 kali za Wafuasi wa CHADEMA na CCM walipoamua kwa Rahaaa zao kuserebuka pamoja Octoba 01,2014.


Haaaaaah Haaaaaah hapa nahisi Wapendwa wetu waungwana waliamua kusakata Mwanaaaaa wa Dar au Mdogooooo Mdogooooo……Wakaingiaaa weweeeeeeee,Hapa CCM….. hapa CCHADEMA….Raha tupuuuu.


Safiiiiiii kwa Rahaaa zaoooooooo…ni  baada ya ufunguzi rasmi wa barabara ya Mwenge-Tegeta   Oktoba 01,2014,katika eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe jijini Dar es salaam. Picha na Othman Michuzi.
Karibu kwenye familia ya Makonda Blog na uzipokee Picha/Habari zote kwa kutumiwa Mchana /Usiku baada tu ya kujiunga kwa kubonyeza hapa mtu wangu >>>BONYEZA HAPA.>>>Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad