Kwa maneno
yake Zitto Kabwe: "Nimeomba mahakama kuzuia kamati kuu ya chama changu
kunijadili mpaka rufaa yangu isikilizwe na Baraza Kuu la chama. Sijaomba kuzuia
kamati kuu kuendelea na kikao chake.
Wakili wa chama Tundu Lissu aliweka mapingamizi
akisema mahakama haina mamlaka kujadili masuala ya vyama na wanachama wao.
Jaji John Utumwa katupilia mbali mapingamizi
yote yaliyowekwa na Tundu Lissu.
Mahakama ndio Chombo cha kutoa haki.
Asante
Wakili Albert Msando.
Haki
itatendeka…"
Mahakama Kuu
imekubaliana na Zitto Kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kinachotarajiwa kufanyika
kesho kutomjadili kwa namna yoyote
No comments:
Post a Comment