Edina Charles kutoka Mjini Ngara ndie Miss Ngara 2013/2014. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Wednesday, January 01, 2014

demo-image

Edina Charles kutoka Mjini Ngara ndie Miss Ngara 2013/2014.

.com/simgad/
IMG_20140101_024817
Miss Ngara 2013/2014.. Edina Charles kutoka Mjini Ngara akiwa katika picha ya pamoja mshindi wa Pili Leah Willias kutoka kabanga na Mary Alfonsi mshindi wa tatu kutoka Nakatunga,katika shindano la Miss Ngara lililofanyika usiku wa Desemba 31,2013 katika ukumbi wa New Happy Club Mjini Ngara,mkoani Kagera….Mshindi wa kwanza aliondoka na zawadi ya seti ya vyombo vya saluni ya kike,wapili Jokofu na watatu Cherehani.

IMG_20140101_024846
IMG_20140101_014421
Tano bora ya shindano la Miss Ngara lililofanyika usiku wa Desemba 31,2013 katika ukumbi wa new Happy Club Mjini Ngara,mkoani Kagera.
IMG_20140101_014442
IMG_20131231_234415
Washiriki walipata fursa ya kupita na vazi la ubunifu jukwaani ,katika shindano la Miss Ngara lililofanyika usiku wa Desemba 31,2013 katika ukumbi wa new Happy Club Mjini Ngara.
IMG_20131231_234211
IMG_20131231_234023
IMG_20131231_234545
IMG_20131231_234859
IMG_20131231_235342
IMG_20131231_235536
IMG_20131231_235734
IMG_20131231_235841
Ni washereheshaji wa  shindano la Miss Ngara 2013/2014 lililofanyika usiku wa Desemba 31,2013 katika ukumbi wa new Happy Club Mjini Ngara.
IMG_20140101_001058
Miss Ngara 2013/2014.. burudani pia haikukosa  katika ukumbi wa new Happy Club Mjini Ngara.
IMG_20140101_001819
Mgeni rasmi katika Miss Ngara 2013/2014.. alikuwa ni Mkuu wa wilaya ya Ngara mkoani Kagera Bw.Costantine Kanyasu..
IMG_20140101_001747
Kutoka kulia ni Afisa utamaduni wilaya ya Ngara Salum bakari na Afisa Michezo wilaya Saidi Salumu wakifatilia kwa ukaribu shindano hilo la Miss Ngara 2013/2014.. lililofanyika usiku wa Desemba 31,2013 katika ukumbi wa new Happy Club Mjini Ngara,mkoani Kagera….Mshindi wa kwanza aliondoka na zawadi ya seti ya vyombo vya saluni ya kike,wapili Jokofu na watatu Cherehani.
IMG_20140101_001826
IMG_20140101_001834
Wadau mbalimbali wakifatilia shindano hilo la Miss Ngara 2013/2014..  lililofanyika usiku wa Desemba 31,2013 katika ukumbi wa new Happy Club Mjini Ngara.
IMG_20140101_001840
IMG_20140101_001924
Majaji wetu wa Miss Ngara 2013/2014..  kutoka kushoto ni Jaji Venanti Veredian,Winnie Camilius Ruhinda na Jaji Eliud Ruzige ambapo walimchagua Edina Charles kutoka Mjini Ngara  kuwa Miss Ngara ,katika shindano la Miss Ngara lililofanyika usiku wa Desemba 31,2013 katika ukumbi wa new Happy Club Mjini Ngara.
IMG_20140101_014540
IMG_20140101_025259
Miss Ngara 2013/2014.. Edina Charles kutoka Mjini Ngara akiondoka na zawadi ya seti ya vyombo vya saluni ya kike.
IMG_20140101_025150
IMG_20140101_025045
Miss Ngara 2013/2014..  mshindi wa Pili Leah Willias kutoka kabanga na Mary Alfonsi mshindi wa tatu kutoka Nakatunga,katika shindano la Miss Ngara lililofanyika usiku wa Desemba 31,2013 katika ukumbi wa new Happy Club Mjini Ngara,mkoani Kagera….waliondoka na zawadi yaili Jokofu na watatu Cherehani.
IMG_20140101_025742

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *