UEFA:-Galatasaray 1-0 Juventus: Sneijder akiwapeleka Vijana wa Kocha Mancini's katika mtoano wa timu 16 bora. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, December 11, 2013

UEFA:-Galatasaray 1-0 Juventus: Sneijder akiwapeleka Vijana wa Kocha Mancini's katika mtoano wa timu 16 bora.



Galatasaray sealed their place in the last 16 of the Champions League in dramatic style as Wesley Sneijder's late goal saw them beat Juventus 1-0 on Wednesday(Desemba 11,2013).

Timu ya  GALATASARAY, wakicheza kwao Türk Telekom Arena Ali Sami Yen Spor Kompleksi Mjini Istanbul, leo wameifunga Juventus Bao 1-0 katika Mechi ya Kundi B la UEFA CHAMPIONZ LIGI, iliyovunjika Jana baada Uwanja kufunikwa na Barafu baada ya Dakika 31 na kuendelea kuchezwa leo kwa  Dakika 59 zilizobaki.


Hata hii leo(Desemba 11,2013), Mechi ilichezwa katika mazingira magumu maana Barafu iliendelea kuanguka na Uwanja kuonekana mbovu na kujaa matope kwa sehemu nyingi.
Bao la ushindi la Galatasaray lilifungwa na Wesley Sneijder katika Dakika ya 85 baada ya kupokea pasi ya kichwa ya Didier Drogba alieshusha Mpira huo kufuatia pasi ya juu toka nyuma.

Wakati Juventus wakihitaji Sare tu ili kuungana na Real Madrid kwenye Raundi ya Mtoano ya Timu 16, Galatasaray walitakiwa lazima washinde na Sneijder amewafanya waungane na Real na kuwaacha Juve waende kucheza  EUROPA LIGI.

Timu zilizofuzu mpaka sasa ni 11 huku zikibaki 5.

KUNDI A:

-Manchester United
-Bayer Leverkusen

KUNDI B:

-Real Madrid
-Galatasaray

KUNDI C:

-Paris St-Germain
-Olympiacos

KUNDI D:

-Bayern Munich
-Manchester City

KUNDI E:

-Chelsea


KUNDI F:

-Bado Timu

KUNDI G:
 
-Atletico Madrid

KUNDI H:

-Barcelona

**FAHAMU: Timu mbili za Juu kila Kundi zinasonga Raundi ya Mtoano ya Timu 16 na Timu inayomaliza Nafasi ya Tatu inatupwa EUROPA LIGI.

MSIMAMO.

KUNDI B
-IMEFUZU: Real Madrid
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Real Madrid CF
6
5
1
0
20
5
15
16
2
Galatasaray Spor Kulübü
6
2
1
3
8
14
-6
7
3
Juventus
6
1
3
2
9
9
0
6
4
FC Copenhagen
6
1
1
4
4
13
-9
4


MECHI ZA MWISHO ZA MAKUNDI:

[SAA 4 Dakika 45 Usiku]


Jumatano 11 Desemba 2013

FC Schalke 04 v FC Basel 1893

Chelsea FC v FC Steaua BucureÅŸti

Olympique de Marseille v Borussia Dortmund

SSC Napoli v Arsenal FC

FK Austria Wien v Football Club Zenit

Club Atlético de Madrid v FC Porto

AC Milan v AFC Ajax

FC Barcelona v Celtic FC

KUNDI E
Mechi zilizobaki-Jumatano Desemba 11:
Chelsea v Steaua Bucharest
Schalke v Basel 

KUNDI E
-Chelsea imefuzu, bado moja
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Chelsea FC
5
3
0
2
11
3
8
9
2
FC Basel 1893
5
2
2
1
6
5
1
8
3
Schalke
5
2
1
2
4
6
-2
7
4
FC Steaua Bucuresti
5
0
1
2
2
9
-7
3

Chelsea washafuzu lakini ni lazima waifunge Steaua Bucharest ili kujihakikishia Nafasi ya Kwanza ya Kundi hili.

FC Basel watasonga pamoja na Chelsea ikiwa tu hawafungwi na Schalke.

KUNDI F
Mechi zilizobaki-Jumatano Desemba 11:
Marseille v Borussia Dortmund
Napoli v Arsenal 

KUNDI F
-Hamna iliyofuzu
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Arsenal
5
4
0
1
8
4
4
12
2
BV Borussia Dortmund
5
3
0
2
9
5
4
9
3
Napoli
5
3
0
2
8
9
-1
9
4
Olympique de Marseille
5
0
0
5
4
12
-8
0

Arsenal wameshinda Mechi 4 kati ya 5 ya Kundi hili lakini bado hawana uhakika wa kusonga.

Arsenal watasonga tu ikiwa watakwepa kipigo kikubwa Ugenini na Napoli lakini pia ikiwa Borussia Dortmund itashindwa kuifunga Marseille, Arsenal watapita tu hata wakibondwa kwa Bao nyingi na Napoli.

Napoli wako sawa na Borussia Dortmund, na ili wao kufuzu kwa mujibu wa kanuni za UEFA kufuatia matokeo ya Uso kwa Uso, wanahitaji kumaliza wakiwa na Pointi zaidi kupita Dortmund

KUNDI G
Mechi zilizobaki-Jumatano Desemba 11:
Atletico Madrid v FC Porto
Austria Vienna v Zenit St Petersburg 

KUNDI G
-Atletico Madrid imefuzu, bado moja
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Atletico de Madrid
5
4
1
0
13
3
10
13
2
Zenit St. Petersburg
5
1
3
1
4
5
-1
6
3
FC Porto
5
1
2
2
4
5
-1
5
4
FK Austria Wien
5
0
2
3
0
8
-8
2

Atletico Madrid wameshafuzu na kutwaa ushindi wa Kundi hili.

Zenit St Petersburg wako mbele ya FC Porto kwa matokeo ya Uso kwa Uso na ili Porto wafuzu wanahitaji kuifunga Atletico na Zenit washindwe kuifunga Austria Vienna.

KUNDI H
Mechi zilizobaki-Jumatano Desemba 11:
Barcelona v Celtic
AC Milan v Ajax 

KUNDI H
-Barcelona imefuzu, bado moja
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
FC Barcelona
5
3
1
1
10
3
7
10
2
AC Milan
5
3
2
0
8
5
3
8
4
Ajax Amsterdam
5
2
1
2
5
8
-3
7
3
Celtic
5
1
0
3
2
7
-5
3

Barcelona wameshafuzu lakini watakosa kutwaa uongozi wa Kundi ikiwa watafungwa na Celtic na AC Milan kuifunga Ajax.

Ajax lazima waifunge AC Milan Uwanjani San Siro ili wao wafuzu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad