Tazama taswira ya Jeneza la Mwili wa Nelson Mandela likitolewa Hospitali kupelekwa Mjini Mkuu Pretoria kuuagwa rasmi. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, December 11, 2013

Tazama taswira ya Jeneza la Mwili wa Nelson Mandela likitolewa Hospitali kupelekwa Mjini Mkuu Pretoria kuuagwa rasmi.


Tribute: Military officers carry the casket of former president Nelson Mandela into the Union Buildings in the South African capital Pretoria, the seat of government where he will lie in state for three days



Arrival: The procession this morning concluded with Mandela's casket being carried in to the Union Buildings


Emotional: Thousands of South Africans waved and paid their respects to their first black president


Soldiers salute Mr Mandela's coffin as it leaves the 1 Military Hospital on the outskirts of Pretoria this morning


Icon: Despite the early start, citizens thronged the streets of downtown Pretoria to glimpse the hearse


Salute: Soldiers pay tribute as the hearse carrying Mandela's casket passes them on its way to the Union Buildings


Citizens stood on top of bollards and clamoured to film the historic passing of the cortege on their phones


Poignant: The Union Buildings were the seat of the apartheid government before Mandela ruled the country from there


Solemn: The casket will lie in state at the Union Buildings until Mandela is buried at a funeral on Sunday


Cortege: The body of Nelson Mandela is driven through the streets of the capital Pretoria this morning

Rais Kikwete leo, Jumatano, Desemba 11, 2013, ataungana na viongozi wenzake katia katika kutoa heshima za mwisho na kuuaga rasmi mwili wa Marehemu Mandela ambao utawekwa kwenye Majengo ya Urais wa Afrika Kusini ya Union Buildings mjini Pretoria.



South Africans were praised for the 'dignified' way in which they commemorated the death of Nelson Mandela


Thousands of ordinary South Africans sang God Bless Africa - Nkosi Sikelel'i Afrika - as they joined leaders at the FNB stadium in Soweto


A dome is constructed near the house of former South African president Nelson Mandela, in Qunu


Nelson Mandela's face is seen on a huge screen next to mourners at yesterday's stadium service


The memorial celebrated his gift for uniting enemies across political and racial divides



Mr Mandela, who died last Thursday aged 95, was described as one of the most iconic world leaders in history



Sombre: While Mr Mandela's death at 95 was sad, most used the occasion to celebrate his achievements


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Jana, Jumanne, Desemba 10, 2013, aliungana na viongozi wa mataifa mbali mbali duniani na maelfu ya wananchi wa Afrika Kusini Kuadhimisha Kumbukumbu ya Kifo cha aliyekuwa kiongozi mashuhuri wa Afrika Kusini na duniani, Mheshimiwa Nelson R Mandela.

Maelfu kwa maelfu ya wananchi wamehimili mvua kubwa iliyokuwa inanyesha kwa nguvu kwenye Uwanja wa Michezo wa FNB mjini Johannesburg kumwaga Mzee Mandela ambaye alikuwa ishara kuu ya upinzani wa siasa za ubaguzi wa rangi za makaburu wa Afrika Mashariki.

Mheshimiwa Mandela ambaye alifariki duniani Ijumaa iliyopita, Desemba 5, 2013, alikuwa Kamanda wa Jeshi la Ukombozi la Chama cha African National Congress la Umkhoto we Sizwe akafungwa jela kwa uhaini kwa miaka 27 na utawala wa Makaburu.

Baada ya kutoka jela mwaka Februari 1990, Mzee Mandela alichaguliwa kuwa Rais wa Kwanza wa Afrika Kusini ya mwaka 1994. Lakini Mheshimiwa Mandela alitumikia kipindi kimoja tu cha miaka mitano na kukataa kutumikia kipindi cha pili.

Kiasi cha viongozi 91 kutoka sehemu duniani wamehudhuria Kumbukumbu hiyo iliyokuwa na kila aina ya mchanganyiko wa hisia – wengine wakiwa na majonzi na wengine wakicheza na kuimba kwa muda wote wa shughuli hiyo iliyochukua kiasi cha jumla ya saa tano.

Mbali na Rais Kikwete ambaye amefuatana na Mama Salma Kikwete, marais wengine mashuhuri duniani waliohudhuria Kumbukumbu hiyo ni Mheshimiwa Barack Obama wa Marekani, Mheshimiwa Francois Hollande wa Ufaransa, Waziri Mkuu wa Uingereza, Mheshimiwa David Cameroun na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Ban Ki Moon.

Kumbukumbu hiyo pia ilihudhuriwa na viongozi wa zamani wa Marekani wakiwemo marais watatu wa zamani wa Marekani – Mheshimiwa Jimmy Carter, Mheshimiwa Bill Clinton na Mheshimiwa George W Bush na mawaziri wakuu wawili wa zamani wa Uingereza, Mheshimiwa Tony Blair na Mheshimiwa Gordon Brown.

Rais Kikwete leo, Jumatano, Desemba 11, 2013, ataungana na viongozi wenzake katia katika kutoa heshima za mwisho na kuuaga rasmi mwili wa Marehemu Mandela ambao utawekwa kwenye Majengo ya Urais wa Afrika Kusini ya Union Buildings mjini Pretoria.



Familia ya Hayati Nelson Mandela ikifuatilia misa maalum ya kumuombea kiongozi huyo Maarufu Duniani pamoja na kwamba mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha.


Mke wa zamani wa Hayati Mzee Nelson Mandela, Winnie Madikizela-Mandela akionekana ni mwenye huzuni mkubwa wakati wa ibada maalum iliyofanyika leo kwenye Uwanja wa FNB Soccer City,Jijini Johannesburg.


Rais wa Marekani,Barack Obama akihutubia maelfu wa waombolezaji wa Msiba wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini,Hayati Nelson Mandela waliopo kwenye Uwanja wa FNB Soccer City,Jijini Johannesburg.Rais Obama amemsifia sana Mzee Mandela na kwa mengi aliyoyafanya kwa Waafrika Kusini na Dunia nzima kwa Ujumla.


Maelfu wa wananchi walijitokeza katika misa hiyo pamoja na mvua kubwa kunyesha muda mrefu

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad