![]() |
Ratiba ya
mechi ni mechi tatu kila siku saa 10:00 Jioni, Saa 01:00 Usiku na saa 02:30
Usiku kuanzia Tarehe 1 Januari 2014 hadi tarehe 13 January 2014.
|
![]() |
Usiache
kununua kisimbuzi (king’amuzi) chako cha Azam TV haraka uweze kujionea uhondo
huu live, Mechi 26, viwanja viwili, timu 12 zitakazo toa Bingwa mmoja.
|
No comments:
Post a Comment