Akizungumza
na Mwana wa Makonda Blog Mmoja wa waratibu wa Miss Ngara 2013/2014-Godwin
Buchard( G2B) amesema washiriki wote wanataraji kuingia kambini kuanzia wiki
hii(Desemba 26,2013) na wakiwa kambini ,pamoja na mambo mengine Watajifunza
mbinu za kupambana na VVU/UKIMWI,kupambana na Rushwa,Madawa ya Kulevya
,Ujasiriamali,Namna ya kutunza na kuhifadhi mazingira ,Elimu ya Uzazi pamoja na
Kutoa misaada mbalimbali kwa makundi yenye uhitaji.
Wednesday, December 25, 2013

Home
MATUKIO
Miss Ngara 2013/2014:-Ni Usiku wa Desemba 31 ukumbi wa New Happy mjini Ngara na Hawa ndio washiriki,Nani kuibuka Mkali wao..??.
Miss Ngara 2013/2014:-Ni Usiku wa Desemba 31 ukumbi wa New Happy mjini Ngara na Hawa ndio washiriki,Nani kuibuka Mkali wao..??.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment