Taswira ya Mabango Mkutano wa Dkt.Slaa na kuvunjika wilayani Kasulu Uwanja wa Kiganamo. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, December 09, 2013

Taswira ya Mabango Mkutano wa Dkt.Slaa na kuvunjika wilayani Kasulu Uwanja wa Kiganamo.

Viongozi mbalimbali wa CHADEMA wakiwamo Shaban Mambo Mwenyekiti wa chadema Kanda ya magharibi na Rajabu Bujoro Mwenyekiti wa Kasulu wamefungua mkutano hali ikiwa shwari watu wa Kasulu wakionesha ustaarabu wa hali ya juu.
Lakini kufumba na kufumbua alipopanda jukwaani Dr Slaa Katibu mkuu wa CHADEMA Taifa kikundi cha watu kiliibuka na mabango mbalimbali huku wakitamka kwa jazba maneno mbalimbali ya kumtaka Zitto na kukejeli Uongozi wa juu wa CHADEMA.



Katibu Mkuu ameonesha ustaarabu na demokrasia iliyokomaa alipo ruhusu mabango yasogezwe mbele na kuwataka askari polisi wasiwachukulie hatua wenye mabango.



Umati wa wananchi waliokusanyika kumsikiliza Katibu Mkuu, Dkt. Slaa jana(Desemba 08,2013) wilayani Kasulu Uwanja wa Kiganamo.


Katibu Mkuu ameonesha ustaarabu na demokrasia iliyokomaa alipo ruhusu mabango yasogezwe mbele na kuwataka askari polisi wasiwachukulie hatua wenye mabango.




Katibu Mkuu aliwauliza wanakasulu ni wangapi wanataka mkutano uendelee wengi wamenyoosha mikono kutaka mkutano uendelee.





No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad