Mchango wako wa hali na mali unahitajika ili kumsaidia Matibabu Mtoto Siwema miaka 12 Baada ya kulipukiwa na Bomu-Ngara :-CHANGIA KUPITIA M-PESA 0753714845. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, December 26, 2013

Mchango wako wa hali na mali unahitajika ili kumsaidia Matibabu Mtoto Siwema miaka 12 Baada ya kulipukiwa na Bomu-Ngara :-CHANGIA KUPITIA M-PESA 0753714845.

Mototo  Siwema Chiza mwenye umri wa miaka 12 mkazi wa kijiji cha Mumilamila Kata ya Bugarama  wilayani Ngara mkoani Kagera,  na pia ni Mwanafunzi wa Darasa  la tano  shule ya msingi Mumilamila  yuko katika wakati mgumu yeye na familia yake baada ya mtoto huyo wa kiume mnamo tarehe 11 mwezi October mwaka  huu  kulipukiwa na bomu  katika  kijiji hicho.


Mpaka sasa tatizo limebaki katika sehemu ya miguuni  ambapo Hospitali ya Rulenge kutokana ukosefu wa vifaa wameshindwa kumtibu mtoto huyo (Siwema) ambapo  sasa amepewa rufaa  kwa ajili  ya upasuaji mkubwa  katika sehem za miguu ambapo kwa sasa yuko katika Hospitali ya Murugwanza katika wodi ya majeruhi  akiendelea kutibiwa.:-CHANGIA KUPITIA M-PESA 0753714845.


Bom hilo lilimuaribu sana mototo huyo  sehemu  ya tumbo na miguu  yake na tunaishukuru Hospitali ya Rulenge kwa ujuzi wao waliweza kumfanyia upasuaji wa utumbo na  kumtibu mtoto huyo sehem za tumbo  ikiwa ni sehemu ya kwanza ya matibabu.

Mchango wako wa hali na mali unahitajika ili kumsaidia Matibabu Mtoto Siwema miaka 12 Baada ya kulipukiwa na Bomu  :-CHANGIA KUPITIA M-PESA 0753714845.

Kwa Mujibu wa Daktari Petter Janga, katika kitengo cha upasuaji  katika Hospitali ya Murugwanza amesema mtoto huyo anaendelea vizuri ila anahitaji kufanyiwa upasuaji mkubwa katika miguu yake iliyoathiriwa na bomu hilo ambapo Hospitali hiyo imempa rufaa ya kwenda Hospitali ya Bugando Jijini Mwanza ili aende akatibiwe.


Mototo  Siwema Chiza mwenye umri wa miaka 12 mkazi wa kijiji cha Mumilamila Kata ya Bugarama  wilayani Ngara mkoani Kagera,  na pia ni Mwanafunzi wa Darasa  la tano  shule ya msingi Mumilamila  yuko katika wakati mgumu yeye na familia yake baada ya mtoto huyo wa kiume mnamo tarehe 11 mwezi October mwaka  huu (2013)  kulipukiwa na bomu  katika  kijiji hicho.

Mtoto huyo  anaye lelewa  na baba yake  pekee  na baba akiwa  hana uwezo kifedha alikumbwa na mkasa huo wa kulipukiwa na bomu wakati akiwa na kaka yake wakielekea shambani kwao.

Bom hilo lilimuaribu sana mototo huyo  sehemu  ya tumbo na miguu  yake na tunaishukuru Hospitali ya Rulenge kwa ujuzi wao waliweza kumfanyia upasuaji wa utumbo na  kumtibu mtoto huyo sehem za tumbo  ikiwa ni sehemu ya kwanza ya matibabu.

Mpaka sasa tatizo limebaki katika sehemu ya miguuni  ambapo Hospitali ya Rulenge kutokana ukosefu wa vifaa wameshindwa kumtibu mtoto huyo (Siwema) ambapo  sasa amepewa rufaa  kwa ajili  ya upasuaji mkubwa  katika sehem za miguu ambapo kwa sasa yuko katika Hospitali ya Murugwanza katika wodi ya majeruhi  akiendelea kutibiwa.

Kwa Mujibu wa Daktari  anaemtibu katika Hospitali ya Murugwanza amesema mtoto huyo anaendelea vizuri ila anahitaji kufanyiwa upasuaji mkubwa katika miguu yake iliyoathiriwa na bomu hilo ambapo Hospitali hiyo imempa rufaa ya kwenda Hospitali ya Bugando Jijini Mwanza ili aende akatibiwe.

Kikwazo kikubwa ni gharama za matibabu hayo  ambapo baba yake mzazi hana uwezo wa kifedha  na  bado pia katika Hospitali ya Rulenge na Murugwanza  bado kuna deni  lakini pia kwenda  hospitali ya Bugando -Mwanza wanahitaji gharama ya kumtibu …. chakula na mahitaji mengine hivyo mtoto huyu yuko katika wakati mgum.

Mchango wako wa hali na mali unahitajika ili kumsaidia Matibabu Mtoto Siwema miaka 12 Baada ya kulipukiwa na Bomu  :-CHANGIA KUPITIA M-PESA 0753714845.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad