Waziri mkuu
wa Uhispania, Mariano Rajoy ametangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa,
baada ya ajali ya treni iliotokea juzi nchini humo. Kiongozi huyo wa
serikali ametembelea eneo lililotokea ajali karibu na mji wa Santiago de Compostela na kuwatembelea majeruhi hospitalini.
serikali ametembelea eneo lililotokea ajali karibu na mji wa Santiago de Compostela na kuwatembelea majeruhi hospitalini.
Takriban
watu 80 wamefariki na zaidi ya wengine 130 wamejeruhiwa, baada ya treni iendayo
kasi kuacha reli katika kona kabla ya kufika katika kituo kikuu katika mji huo
ulioko kaskazini ya Hispania.
No comments:
Post a Comment