Haya ndio Madaraja Mapya ya Ufaulu kwa Wanafunzi wa Kidato cha Nne 2013/2014 yaliyotangazwa na Serikali. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, March 25, 2013

Haya ndio Madaraja Mapya ya Ufaulu kwa Wanafunzi wa Kidato cha Nne 2013/2014 yaliyotangazwa na Serikali.


Serikali kwa kupitia Wizara ya Elimu imefanya mabadiliko kwenye Madaraja ya alama za mitihani ya kidato cha nne. 

  

Hapo awali  Madaraja yalikuwa ni kama ifuatavyo:



A = 81% - 100% 

B = 61% - 80% 

C = 41% - 60% 

D = 21% - 40% 

F = 0% - 20% 



Mabadiliko mapya yamefanywa na sasa Madaraja MAPYA ni kama ifuatavyo:



A = 80% - 100% 

B = 65% - 79% 

C = 50% - 64% 

D = 35% - 49% 

F = 0% - 34% 



Taarifa imetolewa mapema ili wanafunzi kwa kidato cha nne waanze kujiandaa vyema na mitihani ijayo.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad