Cheki Picha Mechi ya kirafiki kati ya Ryno ya Tabora 1-1 Simba SC ya Dar katika uwanja wa Al Hassani Mwinyi-Tabora. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, March 25, 2013

Cheki Picha Mechi ya kirafiki kati ya Ryno ya Tabora 1-1 Simba SC ya Dar katika uwanja wa Al Hassani Mwinyi-Tabora.


Kikosi Cha Simba SC dhidi ya Rhyno Rengers ya Tabora
matokeo yakiwa 1-1  katika uwanja wa Al Hassani Mwinyi-Tabora.


Kikosi Cha  Rhyno Rengers ya Tabora  kilicho panda Daraja kucheza Ligi kuu soka Tanzania bara msimu ujao wa 2013/2014.dhidi ya Simba SC ya Dar es Salaam.
Waamuzi wa Mchezo wa Jumamosi (March 23,2013 )uwanja wa Al Hassani Mwinyi-Tabora kati ya Simba SC dhid ya  Rhyno Rengers
Mashabiki wa Timu ya Rhyno Rengers Jukwaani.
Basi la timu ya Rhyno Rengers

kikosi cha simba ya dar Ndani ya uwanja wa Al-hassani Mwinyi Siku ya Jumamosi wakichuana na Simba SC  ya Dar
Basi la Wekundu wa Msimbazi -Simba SC

 Ndani ya uwanja wa Al-hassani Mwinyi Siku ya Jumamosi wakichuana na Rhyno Rengers ya Tabora iliyopanda Daraja kucheza Ligi kuu soka Tanzania bara msimu ujao wa 2013/2014.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad