Baba Wa Rais Wa Uganda, Mzee Amos Kaguta Museveni Afariki Dunia. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, February 22, 2013

Baba Wa Rais Wa Uganda, Mzee Amos Kaguta Museveni Afariki Dunia.

Marehemu Amos Kaguta.

Mzee Amos Kaguta, baba wa rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni amefariki dunia asubuhi ya kuamkia leo (feb 22,2013).




Mzee Kaguta amefia katika hospitali binafsi ya Kimataifa ya Kampala [IHK] ambapo alikuwa amelazwa toka week iliyopita.




Taarifa kutoka kwa msemaji msaidizi wa Rais Museveni, Bi. Lindah Nabusayi Wamboka,imesema kuwa  Mzee Kaguta amefariki leo asubuhi majira ya saa moja katika hospital hiyo akiwa na umri wa miaka 96.



Rais Museveni wa Uganda.
Hospitali binafsi ya Kimataifa ya Kampala I.H.K.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad