Naibu waziri wa Afrika Mashariki Abdullah Juma Saddallah amepata ajali ya gari . - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, August 08, 2012

Naibu waziri wa Afrika Mashariki Abdullah Juma Saddallah amepata ajali ya gari .

Naibu waziri wa Afrika Mashariki Abdullah Juma Saddallah amepata ajali ya gari alilokua akisafiria kwenye eneo la Kongowe Kibaha Pwani akitokea Dodoma kuja Dar es salaam.



Chanzo cha ajali amesema ni baada ya dereva wake kukwepa lori lakini hakufanikiwa na gari ikatoka nje ya barabara.


Hiyo ajali imetokea jana  jioni ambapo Naibu waziri amesema hali yake sio mbaya sana ila dereva ndio ameumia kiasi, bado wanapata matibabu kwenye hospitali ya Tumbi Kibaha Pwani.






Source:francisgodwin.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad