![]() |
Timu ya Hispania. |
Aidha wao Brazil, Mabingwa wa Dunia mara 5, wameporomoka nafasi mbili na sasa wapo nafasi ya 13.
![]() |
Timu ya Uingereza. |
Nchi mpya, ambao pia ni Wanachama wapya wa FIFA wakiwa ni Mwanachama wa 209, wamepanda hadi nafasi ya 199 baada ya kucheza Mechi yao ya kwanza huko Mji Mkuu wao Juba, Sudan na kutoka sare 2-2 na Uganda hapo Julai 10.
Taifa Staz na Ivory Coast. |
Kwa Afrika, Timu ambayo iko juu kabisa ni Ivory Coast iliyobaki nafasi yake ile ile ya 16.
Listi nyingine itatolewa Septemba 5 mwaka huu.
LISTI YA 20 BORA:
1 Spain
2 Germany
3 England
4 Uruguay
5 Portugal
6 Italy
7 Argentina
![]() |
Kikosi cha Uholanzi. |
8 Netherlands
9 Croatia
10 Denmark
11 Russia
12 Greece
13 Brazil
14 France
15 Chile
16 Côte d'Ivoire
17 Sweden
18 Mexico
19 Czech Republic
20 Ecuador

No comments:
Post a Comment