Bayern Munich wametia mguu mmoja ndani ya Nusu fainali baada ya kupata ushindi wa ugenini dhidi ya Marseille wa bao 2-0 katika mechi ya kwanza ya Robo Fainali ya UEFA CHAMPIONZ LIGI.
Bao za Bayern zilifungwa na Mario Gomez Dakika ya 44 na Arjen Robben katika Dakika ya 69.
Bao za Bayern zilifungwa na Mario Gomez Dakika ya 44 na Arjen Robben katika Dakika ya 69.
Nao Mabingwa wa Ulaya, FC Barcelona, wameshindwa kuwika ndani ya San Siro walipotoka sare ya 0-0 na AC Milan kwenye mechi ya kwanza ya Robo Fainali ya UEFA CHAMPIONZ LIGI.
Timu hizi zitarudiana huko Nou Camp na Allianz Arena hapo Aprili 3.
Timu hizi zitarudiana huko Nou Camp na Allianz Arena hapo Aprili 3.
Marudiano
[Mechi ni Saa 3 Dak 45 Usiku]
Jumanne Aprili 3
Bayern Munich v Marseille
FC Barcelona v AC Milan
Jumatano Aprili 4
Real Madrid v APOEL Nicosia
Chelsea v Benfica
NUSU FAINALI
MECHI kuchezwa Aprili 17/18 na Aprili 24/25
Marseille/Bayern Munich v APOELNicosia/Real Madrid
Benfica/ Chelsea v AC Milan/FC Barcelona
FAINALI
MECHI Kuchezwa Mei 19 Allianz Arena, Munich
[Mechi ni Saa 3 Dak 45 Usiku]
Jumanne Aprili 3
Bayern Munich v Marseille
FC Barcelona v AC Milan
Jumatano Aprili 4
Real Madrid v APOEL Nicosia
Chelsea v Benfica
NUSU FAINALI
MECHI kuchezwa Aprili 17/18 na Aprili 24/25
Marseille/Bayern Munich v APOELNicosia/Real Madrid
Benfica/ Chelsea v AC Milan/FC Barcelona
FAINALI
MECHI Kuchezwa Mei 19 Allianz Arena, Munich
No comments:
Post a Comment