Hat-trick ya
mshambuliaji wa Yanga Obrey Chirwa ni ya pili kwenye ligi kuu Tanzania bara
baada ya Emanuel Okwi kufanya hivyo (Okwi alifunga goli 4) kwenye mechi ya
ufunguzi wa ligi August 26, 2017 Simba ilipocheza dhidi ya Ruvu Shooting.
Katika huo mchezo
wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2017/2018 Yanga SC sasa inafikisha pointi
20, ikizidiwa Pointi mbili na vinara Simba SC na Azam FC baada ya timu zote za
Dar es Salaam kucheza mechi 10 za Ligi Kuu msimu huu.
|
Shujaa wa
ushindi wa Yanga SC leo ni mshambuliaji Mzambia, Obrey Chirwa aliyefunga mabao
matatu peke yake, wakati mabao mengine mawili yalifungwa na chipukizi Emmanuel
Martin.
MATOKEO YA
MECHI ZINGINE ZA LEO JUMAPILI.
|
No comments:
Post a Comment