Amesema kitendo cha kuendekeza
maeneo ya utawala wa Bushubi na Bugufi kutawasababisha wasipate Maendeleo ya
haraka katika kukabiliana na changamoto za umaskini na vikwazo vya kiuchumi
wakihitaji Serikali kuboresha huduma za kijamii.
Rais Magufuli akiwa ziara ya
kukutana na Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza wilayani Ngara mwezi Agost mwaka huu 2017 alisisitiza kuacha
utengano na kuendekeza ukabila wa kikanda katika kuwapata viongozi wawakilishi
wa wananchi katika ngazi za chama na serikali.
Katika mkutano huo wa uchaguzi Mkuu
wa CCM,Wagombea watatu wa nafasi ya Mwenyekiti
wa wilaya ya Ngara ni pamoja na Hadson Bagege anayetetea kiti
chake, George Rubagola na Joseph Bihume.
Mkutano wa uchaguzi wa CCM wa wilaya
hiyo umehudhuriwa na wajumbe 512 kwa ajili ya kuwachagua viongozi mbalimbali kuanzia ngazi ya wilaya
hadi mkutano mkuu wa Taifa.
|
Saturday, October 07, 2017
DC Mtenjele - ''Wanangara acheni Kutengana''
Tags
# SIASA
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
SIASA
Labels:
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment