Hili ndilo Baraza Jipya la Mawaziri Tanzania lililotangazwa Leo October 07,2017 na Rais Magufuli –Ikulu. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, October 07, 2017

Hili ndilo Baraza Jipya la Mawaziri Tanzania lililotangazwa Leo October 07,2017 na Rais Magufuli –Ikulu.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitangaza mabadiliko madogo katika baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 7, 2017. 

Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi pamoja na maafisa waandamizi wa Ofisi ya Rais walikuwapo. Taarifa kamili itawajia baada ya muda si mrefu. 

Picha na Ikulu.

Rais wa Tanzania ,Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri nchini huku akizigawanya baadhi ya Wizara zikiwemo Wizara ya Kilimo na Mifugo, Nishati na Madini  na kuongeza Wizara mpya mbili na kufikisha Jumla ya Wizara 21. 

Katika Mabadiliko hayo, Mawaziri wawili na Manaibu Waziri wameongezwa.
Aidha Rais Magufuli ametangaza mabadiliko na kuteua Katibu mpya wa Bunge huku akieleza kuwa aliyekuwa Katibu wa Bunge, Thomas Kashilila atapangiwa kazi nyingine.

Kwa ufupi.

Mhe.Mahiga, Mhe.Mwakyembe, Mhe.Kabudi, wamendelea na Wizara zao.

Katibu wa Bunge:
Aondolewa na kuwekwa mpya

Mhe.Medadi Kalemani:
Wizara ya Madini (imegawanywa kwa sasa)

Mhe.Angela Kairuki:
Waziri wa Nishati na Madini.

HAPA TAZAMA KWA KUPLAY VIDEO  RASI MAGUFULI AKITANGAZA MAWAZIRI LEO OCTOBER 07,2017.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad