Ukiwa katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Baramba , kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru
2017, Bw. Amour Hammad Amour amezindua bweni la wanafunzi wa shule hiyo na
kufungua klabu ya kuzuia na kupambana na rushwa katika shule hiyo leo hii August
2, 2017.
|
Picha ya pamoja ,Viongozi wa Serikali wakiongozwa na Mkuu wa wilaya ya Ngara Bw.Michael Mtenjele ,Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Baramba sambamba na Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru
2017, Bw. Amour Hammad Amour ulipowasili shuleni hapo kuzindua bweni la wanafunzi wa shule hiyo na
kufungua klabu ya kuzuia na kupambana na rushwa katika shule hiyo leo hii August
2, 2017.
|
Hapa ni Kata
ya Kasulo.
Uzinduzi wa
tanki la kuhifadhia maji katika Kata ya Kasulo wilayani Ngara wakati wa mbio za
Mwenge 2017. Tanki hili limegharimu jumla ya Tsh. 42,334,000.00 na lina ujazo
wa Lita 120,000. Mradi huu husimamiwa na kamati ya kikundi cha mradi wa maji
cha BENGUKA (Benaco Nguvu Kazi).
Katika kata
ya Kasulo (Benaco) Mwenge wa Uhuru umezindua miradi mikubwa mitatu ya maendeleo
yenye thamani ya Tshs. 296,714,400/= .
|
Picha juu na chini ni Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2017, Bw. Amour Hammad Amour akipanda mti wa kumbukumbu ikiwa ni ishara ya kutunza mazingira mara baada ya kuwasili Shule ya Sekondari ya Wasichana na Baramba kuzindua bweni la wanafunzi wa shule hiyo na kufungua klabu ya kuzuia na kupambana na rushwa katika shule hiyo leo hii August 2, 2017. |
No comments:
Post a Comment