Kwa mujibu
wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Charles Mkumbo akithibitisha tukio hilo
amesema ajali hiyo imetokea mapema leo,May 06,2017 baada ya Gari aina ya Toyota
Costa yenye namba za usajili T 871 BYS lililokuwa limewabeba Wanafunzi na Walimu
wao waliokuwa wakielekea shule ya Msingi Tumaini iliyopo Mjini Karatu , kumshinda
dereva na kutumbukia korongoni katika eneo la Rotia jirani kabisa na Mji wa
Karatu ambapo waliothibitika kupoteza maisha ni Wanafunzi 29 kati yao Wavulana
ni 12 na Wasichana 17,huku Walimu 2 na Dereva wa gari hilo nao wakiripotiwa
kupoteza maisha.
|
Saturday, May 06, 2017
UPDATE-Ajali-Karatu: Watu 32 wapoteza Maisha katika ajali ya Basi.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment