Inaelezwa
kuwa ni watoto wanne(4) pekee ndiyo wanasadikiwa kuwa wako hai ila wako
mahututi na kuna wasi wasi vifo
vikaongezeka kutokana na hali mbaya ya majeru wa ajali hiyo.
Kamanda wa
Polisi mkoani Arusha Charles Mkumbo amethibitisha na kusema atatoa taarifa kama
ajali hiyo imesababisha madhara akifika eneo la tukio.
Taarifa zaidi kukujia baadae.
Hapa Chini ni Baadhi ya Picha toka eneo la tukio.
|
Saturday, May 06, 2017
Picha/Ajali-Karatu: Coaster yaua Wanafunzi zaidi ya 20.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment