Matokeo ya Mechi nyingine zote za leo
VPL 2016/2017.
Aidha ,Timu
ya JKT Ruvu imekuwa ya kwanza kushuka daraja katika msimu huu wa ligi kuu
Tanzania bara mara baada ya kupoteza mechi yake ya ugenini kwa kipigo cha bao
2-1 dhidi ya Toto Africans ya Mwanza.
JKT Ruvu ina
pointi 23 baada ya kucheza mechi 28 ikiwa imebakiza mechi mbili pekee kabla ya
msimu kumalizika.
Hata kama
watashinda mechi zao mbili zilizosalia kwenye ligi, watafikisha pointi 29
ambazo haziwaruhusu kusalia kwenye ligi.
Msimu
uliopita timu ya JKT Mgambo ilishuka daraja kwa hiyo kushuka kwa JKT Ruvu
kunafanya timu mbili za jeshi la kujenga taifa kushuka daraja ndani ya misimu
miwili mfululizo.
Msimamo baada ya Mechi za leo.
|
Saturday, May 06, 2017
Home
MICHEZO
VPL 2016/2017- Yanga SC wakaa kileleni kwa ushindi wa 2-0 huku JKT Ruvu ikishuka Daraja.
VPL 2016/2017- Yanga SC wakaa kileleni kwa ushindi wa 2-0 huku JKT Ruvu ikishuka Daraja.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment