Taarifa
zaidi zimeeleza kuwa, kwenye fuso kulikuwa na watu watatu ambapo wawili
walifariki dunia papo hapo na mmoja ambaye ni dereva alivunjika mguu hivyo
baada ya kuokolewa alikimbizwa hospitali kwa ajili ya matibabu.
Aidha Jeshi
la Polisi na Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji wamewahi kufika eneo la tukio na
kufanya uokozi.
|
Saturday, May 06, 2017
Ajali/Picha-Malori yagongana, Yaua wawili Dar es Salaam.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment