Bao la Isco
lilikuwa la kwanza kwake katika michezo yake 31 iliyopita katika Champions
League, na bao hilo liliifanya Real Madrid kufunga mfululizo goli katika mechi
67 mfululizo.
Kipindi cha
pili Atletico iliwapasa kufunga mabao mengine matatu ili kuitoa Real Madrid na walishindwa kutafuta mabao hayo na mchezo kuisha kwa bao 2
– 1 na Real Madrid imefuzu kwa jumla ya mabao 4-2 baada ya ushindi wa 3-0
kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu.
|
Matokeo hayo
yameifanya Real Madrid kufudhu kwenda katika fainali ya Champions League msimu
huu na hii ikiwa ni mara mbili mfululizo katika misimu miwili.
Real Madrid
sasa wanaifuata Juventus ambao usiku wa Jumanne waliitoa AS Monaco ya Ufaransa
na sasa ni fainali ya vigogo na wakongwe kutoka Hispania na Italia.
|
No comments:
Post a Comment