Mgeni rasmi
katika uzinduzi huo alikuwa ni makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar Balozi Seif Ali Idd kwa niaba ya Rais wa serikali hiyo Dkt. Ali
Mohamed Shein, ambapo katika ujumbe wake amesisitiza umuhimu wa watanzania wote
kuweka nguvu zao katika kujenga taifa la viwanda
Alisema hadi
sasa tangu serikali yake iingie madarakani kwa muhula wa pili tayari viwanda
vitatu vya watu binafsi vimekwishajengwa visiwani Zanzibar
Balozi Seif
alisema mbali na kaulimbiu ya mwaka huu kusisitiza umuhimu wa viwanda, pia mbio
hizo zitakuwa zikieneza ujumbe kuhusu mapambano dhidi ya Malaria, UKIMWI, Dawa
za Kulevya pamoja na Rushwa.
Mbio hizo
zimeanzia katika wilaya ya Mpanda, na kilele chake kitakuwa ni Oktoba 14 katika
mkoa wa Mjini Magharibi.
|
Monday, April 03, 2017
Uzinduzi April 2, 2017-Mwenge wa Uhuru: Kuzunguka Mikoa 31 kwa siku 195.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment