Ushindi huu
wa Manchester United umewaweka Nafasi ya 5 wakiwa Pointi 4 nyuma ya Timu ya 4
Man City huku wao wakiwa na Mechi 1 mkononi.
Chelsea bado
wanaongoza EPL lakini sasa tofauti ya Pointi na Timu ya Pili Tottenham ni
Pointi 4 na Mechi zimebaki 6.
|
Kwenye Mechi
iliyochezwa awali Leo huko The Hawthorns, Bao la Dakika ya 46 la Roberto
Firmino EPL-APR16limewapa Liverpool
ushindi wa 1-0 dhidi ya West Bromwich Albion na kupaa hadi Nafasi ya 3.
|
No comments:
Post a Comment