Barcelona's
head coach Luis Enrique.
|
Wachezaji wa
Juventus na furaha ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Barcelona.
Mechi
nyingine iliyopaswa kuchezwa Jana kati ya Borussia Dortmund na Monaco
iliahirishwa baada ya Basi ambalo liliwachukua Timu ya Dortmund kukumbwa na
Milipuko na kumjeruhi Mchezaji wao mmoja Marc Bartra.
UEFA imeamua
Mechi hii ichezwe Leo April 12, 2017 sambamba na Mechi nyingine mbili ambazo ni
za huko Allianz Arena Jijini Munich kati ya Bayern Munich na Mabingwa Watetezi
Real Madrid na nyingine ni huko Spain kati ya Atletico
Madrid na Leicester City.
|
No comments:
Post a Comment