Polisi
nchini Ujerumani imesema kuwa licha ya gari hilo kuwabeba wachezaji wa Borussia
Dortmund kuelekea katika mchezo wa nyumbani kwenye ligi ya mabingwa Ulaya
lililengwa na milipuko mitatu na wamesema kuwa barua ilikutwa pembezoni mwa
eneo la shambulizi hilo,lakini haikuwa na maelezo ya kutosha.
Polisi
imekana kuwa ni shambulizi la kigaidi.
|
Mlinzi Marc
Bartra amejeruhiwa katika shambulizi hilo
Taarifa za
kiintelijensia zinasema kuwa zinachunguza shambulizi hilo kama linahusika na
mashabiki wa timu ya upinzani.
Mchezo kati
ya Borussia Dortmund v Monaco inachezwa leo (Itaanza Saa 1
Dakika 45 Usiku)
|
Marc Bartra
alifanyiwa upasuaji wa mkono wake usiku huo huo wa April 11,2017 baada ya kuvunjika mfupa
kutokana na tukio hilo, Marc Bartra mwenye umri wa miaka 26 amekuwa mchezaji
muhimu wa Dortmund akiwa kaichezea timu hiyo katika michezo 30.
|
No comments:
Post a Comment