Mabao
mengine ya Real Madrid yalifungwa na Alvaro Morata dakika ya kwanza, Lucas
Vazquez dakika ya 44, Isco dakika ya 77 na Casemiro dakika ya 87 wakati ya
wenyeji yalifungwa na Florin Andone dakika ya 35 na Joselu dakika ya 84.
Kocha
Zinadine Zidane hakutumia wachezaji tisa aliowaanzisha Jumapili wakifungwa 3-2
na FC Barcelona, akiwemo Cristiano Ronaldo.
|
James Rodriguez.
Kwa matokeo
hayo Ligi Kuu ya Spain, inaingia patamu
sana kwa Mechi kubakia chache na Mabingwa Watetezi FC Barcelona na Real Madrid,
kukabana koo wote wakiwa na Pointi sawa 78 baada ya kushinda Mechi zao kwa
kishindo kikuu.
FC Barcelona
wamebakisha Mechi 4 na Real Madrid Mechi 5.
|
Barcelona,
ambao ndio wanaongoza Ligi kwa Ubora wa Magoli, Jana waliitandika Timu ya
Mkiani Osasuna 7-1 huko Nou Camp huku Lionel Messi akifunga Bao 2 na nyingine
kupachikwa na Andre Gomes, Bao 2, Parco Alcacer, 2 na Penati ya Javier
Mascherano.
Bao pekee la
Osasuna lilifungwa na Roberto Torres.
|
No comments:
Post a Comment