Huko
Selhurst Park Jijini London, Crystal Palace walilala 1-0 kwa Tottenham Hotspur
ambao sasa wamejizatiti Nafasi ya Pili wakiwa Pointi 4 nyuma ya Vinara Chelsea
walioshinda bao 4-2 dhidi ya Southampton.
Bao la
ushindi la Mechi hiyo lilifungwa Dakika ya 78 na Christian Eriksen.
|
Nako huko
Riverside Wenyeji Middlesbrough waliitungua Sunderland 1-0 kwa Bao la Dakika ya
9 la Marten De Roon.
Leo April
27, 2017 ipo Mechi ya EPL na kazi hiyo
kubwa ipo huko Etihad ambako iko Dabi ya Jiji la Manchester kati ya Man City na
Man United Timu ambazo zinapishana Pointi 1 tu wakati Man City wapo Nafasi ya 4
na Man United Nafasi ya 5.
Alhamisi
Aprili 27,2017.
2200
Manchester City v Manchester United
|
No comments:
Post a Comment