Baraza la
Kimataifa la Viwanja vya Ndege limetoa Orodha ya Viwanja vya ndege 20 ambavyo
vinahudumia idadi kubwa ya Wasafiri Ulimwenguni
ambao walifanya safari za anga kwa mwaka ulioisha wa 2016.
Katika
Orodha hiyo, Uwanja wa ndege wa Atlanta, Marekani unaongoza kwa kutoa huduma
kwa abiria milioni 104,171,935 na nafasi ya 20 ikishikiliwa na Bangkok
Suvarnabhumi, Thailand ukitoa huduma kwa abiria 55,892,428.
Listi kamili
isome hapa chini;
1. Atlanta, Marekani – abiria 104,171,935
2.Beijing – China – abiria 94,393,454
3.Dubai International (DXB), Falme za
Kiarabu – abiria 83,654,250
4.Los Angeles (LAX), Marekani – abiria
80,921,527
5.Tokyo Haneda (HND), Japan – abiria
79,699,762
6.Chicago O’Hare (ORD), Marekani – abiria
77,960,588
7.London Heathrow (LHR), Uingereza – abiria
75,715,474
8.Hong Kong (HKG), China – abiria
70,305,857
9.Shanghai (PVG), China – abiria 66,002,414
10.Paris Charles de Gaulle (CDG), Ufaransa
– abiria 65,933,145
11.Dallas/Fort Worth (DFW), Marekani –
abiria 65,670,697
12.Amsterdam (AMS), Uholanzi – abiria
63,625,534
13. Frankfurt (FRA), Ujerumani – abiria
60,786,937
14.Istanbul (IST), Uturuki – abiria
60,119,876
15.Guangzhou, China (CAN) – abiria
59,732,147
16.New York JFK (JFK), Marekani – abiria
58,873,386
17.Singapore (SIN) – abiria 58,698,000
18.Denver (DEN), Marekani – abiria
58,266,515
19.Seoul Incheon (ICN), Korea Kusini –
abiria 57,849,814
20.Bangkok Suvarnabhumi (BKK), Thailand –
abiria 55,892,428
|
No comments:
Post a Comment