Dr Gresimus Sebuyoya ,Mganga Mkuu wa Hospitali teule ya wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera
|
Picha juu na chini Zoezi la
Upasuaji bila gharama Watoto wenye mdomo sungura kutoka ndani na nje ya Jimbo Katoliki la
Rulenge Ngara ukiendelea katika Hospitali teule ya wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera,kuanzia
April 24 hadi April 30,2017 chini ya Madaktari Bingwa wa Upasuaji Mdomo Sungura
kutoka Rwanda,Uganda wakishirikiana na
Dr Prosper Malya wa Hospitali ya Misheni Rulenge/Ngara-Kagera chini ya Ufadhali
wa Shirika la Kijerumani.
|
No comments:
Post a Comment