Kadi
nyekundu.
Mchezo
ulibadilika baada ya Ander Herera kutolewa kwa kumchezea rafu Eden Hazard. Kipa
wa United, David De Gea awali aliokoa mkwaju mkali wa Hazard.
|
Mchezo huo
ulighubikwa na hasira, huku Diego Costa na Marcos Rojo wakizozana mara kwa
mara, wakati meneja Antonio Conte naye akikwaruzana na Jose Mourinho.
|
Chelsea hawakuweza kuongeza goli licha ya
kupata nafasi kadhaa, Pia ni safari nyingine kwa Mourinho anafungwa mara ya pili katika klabu yake ya
zamani, baada ya kutandikwa 4-0 kaika mchezo wa Ligi Kuu mwezi Oktoba.
Chelsea
watakutana na Tottenham katika mchezo wa Nusu fainali utakaochezwa tarehe 22, mwezi Aprili,2017 kwenye uwanja wa Wembley.
Nusu fainali nyingine ni kati ya Arsenal
watakaocheza na Manchester City Aprili 23,2017.
|
FA Cup semi-finalists recent head-to-head (previous five meetings) | ||
---|---|---|
Chelsea v Tottenham | ||
1 Mar, 2015: | Chelsea 2-0 Tottenham | League Cup |
29 Nov, 2015: | Tottenham 0-0 Chelsea | Premier League |
2 May, 2016: | Chelsea 2-2 Tottenham | Premier League |
26 Nov, 2016: | Chelsea 2-1 Tottenham | Premier League |
4 Jan, 2017: | Tottenham 2-0 Chelsea | Premier League |
Arsenal v Manchester City | ||
13 Sep, 2014 | Arsenal 2-2 Manchester City | Premier League |
18 Jan, 2015: | Manchester City 0-2 Arsenal | Premier League |
21 Dec, 2015: | Arsenal 2-1 Manchester City | Premier League |
8 May, 2016: | Manchester City 2-2 Arsenal | Premier League |
18 Dec, 2016: | Manchester City 2-1 Arsenal | Premier League |
No comments:
Post a Comment