Mkutano Mkuu
wa CAF ulipokuwa ukiendelea nchini Ethiopia jana March 16, 2017.
Uanachama
huo sasa unaifanya Zanzibar iweze kushiriki michuano ya kimataifa inayoandaliwa
na CAF kama taifa kamili, ikimaamisha kuwa kuanzia sasa Tanzania (Tanzania Bara
na Zanzibar) itakuwa na timu mbili katika michuano yote ya CAF ikiwemo CHAN na
AFCON.
Manufaa
mengine ni Zanzibar sasa kushiriki Fainali za Afrika Wanawake (Awcon), Fainali za
Vijana (Afcon U-17 na U-20), kuhudhuria mikutano mbalimbali kama mwanachama
kamili pia kupokea na kusimamia kozi za zitakazokuwa zinatolewa CAF.
Pia Zanzibar
itakuwa na fursa ya kupiga kura katika masuala muhimu ya CAF tofauti na awali
ilipokuwa inapata nafasi hiyo mpaka klabu zake ziwe zimeshika nafasi ya juu
katika ligi kuu Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho.
|
Ahmed Ahmed
Katika hatua
nyingine, shirikisho hilo Jana March 16,2017 limemchagua Bwana Ahmed Ahmed kutoka Madagascar
kuwa Rais wake mpya, na kumbwaga kigogo katika nafasi hiyo, Issa Hayatou ambaye
ndiye aliyekuwa Rais anayemaliza muda wake.
Katika uchaguzi
uliofanyika kupitia mkutano huo, Ahmed amepa kura 34 dhidi ya kura 20 alizopata
Issa Hayatou.
|
No comments:
Post a Comment